×

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 29, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 29, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Yanga Yaichapa JKT Taifa, Yazidi Kupaa Kileleni

Timu ya Yanga leo Novemba 28 imefanikiwa kuondoka na pointi zote tatu kwenye Uwanja wa Mkapa  jijini Dar, baada ya...

READ MORE

Nandy Ampindua Zuchu Kwa Mondi

DAR: Kwa harakaharaka unaweza kusema kwa mwaka huu wa 2020 unaoelekea ukingoni, mwanadada Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’, ameua ndege wawili...

READ MORE

RC Chalamila Asweka Watu Sita Ndani kwa Kughushi Sahihi za Marehemu

  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, leo Novemba 28 ameamuru kukamatwa kwa watu sita na kufikishwa Mahakamani baada...

READ MORE

Iran Kulipiza Kifo cha Mwanasayansi wa Nyuklia, Israel Yatajwa

  RAIS wa Iran, Hassan Rouhani, amesema lazima walipize kisasi baada ya mwanasayansi wao wa  nyuklia, Mohsen Fakhrizade, kuuawa huku...

READ MORE

Namungo kuwavaa Al Rabita Leo, Kombe la Shirikisho

  WAWAKILISHI  wa Tanzania kwenye michuano ya Afrika, Namungo, inatarajiwa kushuka dimbani saa moja usiku leo Novemba 28 kwenye dimba...

READ MORE

Shilole Kwenda Ufaransa Kupiga Kolabo na Koffi

KITENDO cha msanii Koffi Olomide kwenda kula kwenye mgahawa wa msanii Shilole, hakikuishia kwenye kula tu bali na kuzungumzia kazi....

READ MORE

Mwakinyo Apanda Viwango, Amkaribia Pacquiao

BONDIA  namba moja nchini, Hassan Mwakinyo, ametajwa kuwa bondia wa nyota tatu duniani, akihitaji kutafuta nyota nyingine mbili ili kuingia...

READ MORE

EPL London Derby: Chelsea Kuwakaribisha Tottenham Hotspurs!

  Moja kati ya michezo yenye ushindani wa kipekee ni London Derby, mchezo kati ya Chelsea na Tottenham haujawahi kuwa...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Mazishi ya Diego Maradona

Vyanzo mbalimbali vya habari nchini Argentina vimeripoti kuwa Diego Maradona amezikwa mapema asubuhi ya Alhamisi na watu wachache ambao ni...

READ MORE

Al-Ahly Yatwaa Taji Ligi ya Mabigwa Afrika

MABINGWA wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al-Ahly ya Misri,  jana usiku Novemba 27 wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa tisa...

READ MORE

EFG Inavyotengeneza Wanawake Wenye Nguvu ya Kiuchumi – Video

  Equality for Growth (EfG) ni taasisi ya kitaifa yenye maono ya kutengeneza wanawake wenye nguvu kiuchumi katika sekta isiyo...

READ MORE

Chadema Yawafukuza Uanachama Mdee, Wenzake

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,  jana alisema Halima Mdee na wenzake 18 wamevuliwa uanachama wa...

READ MORE

Nafasi za kazi 2 MDH, Mtaalam wa Dawa

JOB TITLE: Pharmaceutical Technician (02 Positions) WORK STATION:  Kinondoni Municipal Council REPORTS TO: Health Facility In-charge Job Purpose Perform the...

READ MORE

Rais Magufuli Awashukuru Viongozi wa Dini

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amewashukuru viongozi na waumini wa dini ya kiislamu pamoja na wa dini nyingine nchini kwa...

READ MORE

Rais MHE. DKT. Magufuli aongoza kikao cha kamati kuu ya CCM jijini Dodoma

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi  CCM Rais MHE. DKT. Magafuli aongoza Kikao Kikao cha kamati kuu ya CCM jijini Dododma...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 28, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 28, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risais kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Ruvu Shooting Wapania Kuendelea Kugawa Dozi

  UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mechi zote za ligi na wataendelea kugawa...

READ MORE

Straika Mpya Aomba Kuondoka Simba

UPO uwezekano mkubwa wa Simba kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wake mpya Charles Ilanfya kwenye usajili wa dirisha dogo litakalofunguliwa Desemba...

READ MORE