×

Georgia Yarudia Kuhesabu Kura, Biden Amgaragaza Trump Tena

  RAIS Mteule wa Marekani, Joe Biden (78),  ametangazwa rasmi kuwa mshindi wa Jimbo la Georgia baada ya zoezi la...

READ MORE

Jamii Yatakiwa Kuungana Kupinga Ukatili kwa Wanawake na Watoto

Kuelekea siku maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kati ya Novemba 25 hadi Desemba 10, mwaka huu,...

READ MORE

Yanga Yaibua Upya Sakata la Morrison, Yatoa Tamko TFF – Video

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa una wasiwasi kuhusu kesi ya mchezaji wao, Bernard Morrison, huenda ikabadilishwa kwa...

READ MORE

Tonombe Aeleza Ishu ya Kwenda Simba

KIUNGO wa kimataifa wa Congo anayekipiga Yanga, Mukoko Tonombe, amesema anaipenda sana Yanga hivyo hawezi kuondoka kwa sasa.    ...

READ MORE

GGML, NEEC Waanzisha Mafunzo kwa Wafanyabiashara 500 Geita

Katika jitihada za kuwapatia maarifa na ujuzi wajasiriamalimkoani Geita juu ya mchakato wa manunuzi yanayofanywa na Kampuni ya Geita GoldMining...

READ MORE

Live: CCM Yapitisha Majina Haya Umeya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepitisha majina ya madiwani walioomba kuwania umeya wa majiji, manispaa na wenyeviti wa halmashauri katika maeneo...

READ MORE

Haruna Niyonzima Apata Ajali

NYOTA wa kikosi cha Yanga, Haruna Niyonzima taarifa zinaeleza kuwa amepata ajali akiwa na mke wake nchini Rwanda wakati gari...

READ MORE

Kisa Yanga… Ntibazonkiza Afanyiwa Dua Burundi

INAELEZWA kuwa baadhi ya mashabiki wa soka Burundi wamepanga kumuaga kwa dua staa wa nchi hiyo Said Ntibazonkiza wakati akiwa...

READ MORE

Tanzania Yakanusha Kuwekewa Vikwazo na EU – Video

  BALOZI  wa Tanzania nchini Ubelgiji, Jestas Nyamanga, amesema taarifa zinazoendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, kwamba Bunge la Umoja...

READ MORE

Ratiba ya Ligi Kuu Bara Leo Ipo Hivi

  LEO Novemba 20 Ligi Kuu Bara inaendelea kwa timu kuingia uwanja kusaka pointi tatu baada ya mapumziko kutokana na...

READ MORE

Mtupiaji Namba Moja Bongo Aingia Rada za Yanga

ADAM Adam, staa anayekipiga ndani ya JKT Tanzania anatajwa kuingia kwenye rada za Yanga ambao wanahitaji saini yake. Nyota huyo...

READ MORE

Yanga Yatangaza Bosi Mpya, Yaanika Sakata la Morrison, Kabwili – Video

  UONGOZI wa Klabu ya Yanga SC, leo Novemba 20 umemtangaza Hajji Mfikirwa kuwa Kaimu Katibu Mkuu  mpya ambaye anachukua...

READ MORE

Watumishi Wasio na TIN Namba Hatarini Kukosa Mshahara

MKURUGENZI wa Elimu kwa Mlipa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo, amesema serikali imetangaza kuwa mfanyakazi ambaye...

READ MORE

Van Dijk Atajwa Kuanza Mazoezi Mepesi Liverpool

  HABARI njema kwa mashabiki wa Liverpool ni kwamba beki kitasa wa timu hiyo Virgil Van Dijk anatajwa kuanza kufanya...

READ MORE

Msuva Ataja Sababu Zitazomfanya Aanze First Eleven Casablanca

  NYOTA mpya wa Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania Simon Msuva, amefunguka kwamba kucheza ligi ya nchi hiyo...

READ MORE

Morrison Aunganishwa Kwenye Kikosi, Ruksa Kuwavaa Coastal Union

BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck huenda atakuwa sehemu ya kikosi...

READ MORE

Messi Achoshwa na Lawama Barcelona

NYOTA  wa timu wa kimataifa wa Argentina,  Lionel Messi, amevunja ukimya na kueleza bayana kuwa amechoshwa na zigo la lawama...

READ MORE

Serikali Yamkana Mo, Manara, Sakata Mabadiliko Simba

SUALA la mabadiliko ndani ya Simba limeleta sura mpya baada ya Serikali kujibu mapigo ya viongozi wa klabu hiyo ambao...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

La Liga: Messi, Suarez Kazi Ipo Leo

Michezo ya timu za taifa kwenye UEFA League of Nations imeisha, sasa soka linarejea tena kwenye viwanja vyote nchini Hispania!...

READ MORE