The House of Favourite Newspapers
gunners X

MAMA KANUMBA YEYE NA MZUNGU TU!

KUTOKANA na hali ngumu ya maisha hivi sasa, mama mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mahiri wa Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amemwangukia mwanadada mwenye asili ya kizungu aitwaye Mouna ili amsaidia kwenye shughuli ya kumbukumbu ya…

Esma: Akiolewa Wema Itakuwa Poa

MWANADA-SHOSTI ambaye ni dada wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Esma Khan ‘Esma Platnumz’ amefunguka kuwa, kama kaka yake ataamua kurusha karata yake kwa mkali wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na kufunga naye ndoa…