×

Ruvuma kinara uzalishaji mazao ya nafaka

  Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo Mkuu mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere baada ya mkoa huo kushika nafasi...

READ MORE

Bashe ataja sababu za mauzo nafaka nje kuzidi kupaa

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema mauzo ya nafaka nje ya nchi yameongezeka kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji nchini. Bashe...

READ MORE

Ruzuku ya mbolea yawatia moyo wakulima

Hatua ya Serikali kutoa ruzuku ya mbolea kwa Wakulima imeonesha matokeo chanya kwenye uzalishaji wa mazao ya kilimo nchini. Hayo...

READ MORE

Uzalishaji wa chakula nchini waimarika

Tanzania imezidi kujidhatiti katika kuzalisha chakula kutoka tani 17,148,290 mwaka 2021/202/ hadi kufikia tani 20,402,014 mwaka 2023. Hayo yameelezwa na...

READ MORE

#Exclusive: Denzel Trainer Wa Alikiba Afichua Mazito Ya Kajala Wakiwa Gym -Video

 Denzel ni Trainer wa Alikiba ambaye ameweka wazi kuwa Alikiba ndiye alimkutanisha na Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Mrisho...

READ MORE

Vijana 420 wawezeshwa kutengeneza vihenge kuthibiti sumu kuvu

NA MWANDISHI WETU JUMLA ya vijana 420 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kujiajiri kupitia mafunzo waliyopatiwa na Serikali kwa...

READ MORE

Kocha Aikoleza Kombinesheni Ya Onana, Ngoma Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema anataka kuona timu yake ikipata ushindi wa mabao mengi zaidi, huku...

READ MORE

Pesa Ya Vikoba Yaondoa Uhai Wa Mtu Arusha, Mama Ajinyonga Kisa Marejesho, Aacha Simanzi…

Hali ya sintofahamu imeibuga jijini Arusha baada ya mwanamke mmoja ambaye jina lake halijafahamika amedaiwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa...

READ MORE

Sopu, Prince Dube Waongezewa Makali Kuitungua Yanga Mkwakwani, Tanga

WAKIWA wanajiandaa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii, mastaa wa Azam FC, Prince Dube na Abdul Suleiman ‘Sopu’...

READ MORE

NMB na Kampuni ya Agricom Africa, Kushirikiana Kuwezesha Ukuaji wa Kilimo Kwa Wakulima

Benki ya NMB na Kampuni ya Agricom Africa, wamewahakikishia wakulima nchini, kwamba ushirikiano baina ya taasisi hizo ndio mkombozi wa...

READ MORE

#Exclusive: Jesca Kitambaa Cheupe Afichua Kufilisika, Kulala Rumande Kisa Baa – Video

Mwanadada Jessica Kikumbi @jessicakikumbi ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Kitambaa Cheupe inayomiliki baa kubwa jijini Dar es Salaam, amesema...

READ MORE

Jux Ft Diamond Platnumz – Enjoy (Official Video)

STAA wa Bongo Fleva, Juma Jux , ameachia video yake ya ‘Enjoy’  ambayo kamshirikisha supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya...

READ MORE

Mke Wa Rafiki Yake Afia Getoni Kwake, Apewa Kesi Ya Mauaji Na Kusota Jela Miaka 9, Mwenyewe Asimulia – Video

Kijana aliyejitambulisha kwa jina la Tumaini Chilu amesimulia kisa cha yeye kumwachia rafiki yake chumba (geto) ili apumzike na mchumba...

READ MORE

Wawili Wauwawa Kwa Kupigwa Risasi Katika Siku Ya Tano Ya Maandamano Katika Mji Wa Cape Town

Polisi wanasema mtu mmoja aliuwawa na wengine watatu kujeruhiwa kwa risasi Jumatatu karibu na uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Bashe aweka historia Samia akizindua program uchimbaji visima 67800

NA MWANDISHI WETU RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amezindua programu ya uchimbaji wa visima kwa ajili ya wakulima wadogo...

READ MORE

Tusiruhusu Viongozi wa Nchi Yetu Wakatwezwa Utu Wao-Dkt Biteko

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Madini...

READ MORE

Rais Samia: Hongereni NMB kwa mchango Wenu Katika Sekta ya Kilimo!

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta...

READ MORE

Maxi, Konkoni Wampasua Kichwa Kocha wa Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina, amefichua kuwa, licha ya kucheza michezo ya ndani ya kirafiki, lakini bado...

READ MORE

Straika Mpya Yanga Atuma Ujumbe Mzito Simba

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mghana, Hafiz Konkoni amebainisha kwamba, ana furaha kujiunga na timu hiyo, huku akisema ana deni kubwa...

READ MORE

Wakulima waanika faida matumizi mfumo T-HAKIKI, waita wenzao kujisajili

Na Mwandishi Wetu, Mbeya WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili...

READ MORE