PAMBANO LA RAY NA JB LAZIDI KUTIKISA
WASANII wa filamu nchini, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Jacob Steven ‘Jay B’ wanaotarajiwa kuzichapa katika pambano la ndondi linalotarajiwa kufanyika mkoani Morogoro siku ya Pasaka, jana waliendelea kutambiana wakati wakizungumza na wanahabari walipokuwa wakifanya mazoezi ya kujiandaa na pambano hilo.
Baada ya kumaliza kufanya mazoezi wasanii hao kila mmoja alianza kumwaga tambo za kummaliza mwenzake na kumkata kilimilimi kwenye pambano hilo.
HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS /GPL
Comments are closed.