Paul Makonda Aangua Kilio Kaburini Kwa Hayati Magufuli Chato Mkoani Geita (Picha + Video)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda akiendelea na ziara yake Kanda ya Ziwa, Novemba 10,2023 amefika nyumbani kwa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Wilayani Chato Mkoani Geita na kuzuru kaburi lake huku akimwaga machozi na hata kushindwa kuongea.