The House of Favourite Newspapers

Peter Msigwa: Hans Poppe Alitusaidia Sana Chadema, Tutam Miss – Video

0

MWILI wa Aliyekuwa mjumbe wa kamati ya haki na sheria za wachezaji (TFF) na Mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi (Simba SC), Zacharia Hans poppe, umefanyiwa ibada katika kanisa lililopo mkoani Iringa na unatarajiwa kuzikwa leo mkoani humo.

Leave A Reply