Picha: Shuguli ya Mazishi ya Kitaifa ya Rais wa Zamani wa Kenya Emilio Mwai Kibaki
MAZISHI ya kitaifa yanafanyika leo Ijumaa kwa ajili Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki aliyefariki wiki moja iliyopita akiwa na umri wa miaka 90.
Marais kadhaa wa Arika na viongozi wengine waheshimiwa wa dunia watashiriki, huku Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, Salva Kiir wa Sudan Kusinina wa Ethiopia Sahle-Work Zewde wakiwa tayari wamethibitisha kuhudhuria mazishi hayo. Zifuatazo ni picha za matukio ya utaratibu wa mazishi ya kitaifa ya rais huyo wa zamani wa Kenya: