HabariKitaifaLatest News PICHAZ: MATUKIO MBALIMBALI MSIBANI KWA RUGE MUTAHABA KARIMJEE Last updated Mar 2, 2019 Share Baadhi ya waandishi wa habari walioandaliwa kwa ajili ya kubeba jeneza lenye mwili wa Ruge wakilishusha kwenye gari maalum. Hali ilivyoonekana wakati mwili wa Ruge ulipofika Karimjee Dar es Salaam. Mzazi mwenzake na marehemu Ruge, Zamaradi Mketema (wa tatu kulia) akiwasili Viwanja vya Karimjee. Baba Mzazi wa marehemu Ruge Mutahaba na mama mzazi wakisaidiwa kuingia katika Viwanja vya Karimjee. Gari lililobebe mwili wa Ruge Mutahaba. Mbunge wa Kibaha vijijini, Hamoud Jumaa (katikati) akielekezwa sehemu ya kuketi alipofika katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kutoa heshma zake za mwisho kwa Ruge Mutahaba. Msanii wa muziki wa Bongo fleva Barnabas Elias ‘Barnaba Boy Classic’ (kulia) akitetea jambo na mmoja wa wasanii wenzake. Sehemu walipokaa wafanyakazi wa Clouds Media kabla ya kutoa heshma zao za mwisho kwa mpendwa wao Ruge Mutahaba. KUAGWA KWA RUGE Share
Comments are closed.