The House of Favourite Newspapers

Pichaz: Simba Watua Dar Wakitokea Zanzibar

0

TIMU ya Simba leo imetua kwa ndege jijini  Dar wakitokea Unguja walipokuwa wameweka kambi ya wiki moja kabla ya mchezo wa kesho na watani wao wa jadi, Yanga SC.  Timu hiyo imepokelewa na viongozi mbalimbali wa Simba wakiongozwa na msemaji wa timu hiyo, Haji Manara, huku akirusha kijembe kwenda kwa watani hao  kupitia akaunti yake ya Instagram akisema: Mara paap,,tumetua dar,,,,okey mnaweza kupitia njia ya kilwa,,au ya kisarawe,,au daraja la kiluvya lishajengwa??Swaumu oyeeeee😊😊

PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL

Leave A Reply