The House of Favourite Newspapers

POLISI KUZUIA MIKUTANO YA SIASA, MAANDAMANO NI SAWA?

Tungependa Watanzania wote waeleweshwe kuhusu jambo hili. Tumekuwekea mjadala maalum kuhusu polisi kuzuia mikutano ya kisiasa na maanadamo hapa nchini.

-Mjadala huu wa moto unajadiliwa kwenye Global Publishers App. Kama una ufahamu wowote kuhusu hili, kisheria au kwa mazingira ya kawaida, ingia sasa Global Publishers App uchangie mjadala huu.

Android: ==>

iOS: ==>

NB. Matusi, kejeli, kebehi na lugha chafu hazitakiwi kwa mjibu wa sheria za mitandao.

Comments are closed.