×

Tag: maandamano

Takribani Watu 60 Wauawa Akiwemo Mwandishi wa Habari Katika Maandamano ya Chad

TAKRIBANI watu 60 wameuawa katika maandamano ya kupinga serikali ya Chad ambapo kulitokea vurugu baada ya vikosi vya usalama kufyatua...

READ MORE

Watu 11 Wakamatwa Kwenye Maandamano Nchini Ufaransa

WATU 11 wamekamatwa na Polisi wa Ufaransa katika maandamano ya maelfu ya watu wakipinga mfumuko wa bei, ongezeko la bei...

READ MORE

Watu 92 Wauawa Katika Maandamano Nchini Iran, Mashirika ya Haki za Binadamu Yabainisha

TAKRIBANI watu 92 wameuawa kwa madai ya ukandamizaji unaofanywa nchini Iran wa kutuliza maandamano yaliyochochewa na kifo cha mwanamke anayefahamika...

READ MORE

Watu 4 Wauawa Katika Mapigano ya Makundi Yanayohasimiana Nchini Iraq 

TAKRIBANI watu wanne wameuawa katika makabiliano kati ya wapiganaji wanaohasimiana yaliyotokea katika Mji wa Basra nchini Iraq huku makundi mbalimbali...

READ MORE

Staa NBA Aliyegomea Chanjo Asababisha Maandamano

Nakuvutia hii kutoka pande za Marekani ambapo maandamano makubwa yamezuka kumsapoti staa wa NBA  Kyrie Irving, anayekiwasha katika timu ya...

READ MORE

Kimenuka! Maandamano ya Kumtoa Zuma Jela Yapamba Moto, Magari Yachomwa

Maelfu ya waandamanaji wanaotaka kuachiwa kwa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, wameingia mitaani na kuchoma magari kadhaa...

READ MORE

Marekani Yaiwekea Vikwazo Myanmar

  RAIS wa Marekani, Joe Biden, ametangaza kuidhinisha amri ya kiutendaji ya kuwawekea vikwazo vipya wahusika wa mapinduzi ya kijeshi...

READ MORE

Waliokufa Kwenye Maandamano Uganda Wafikia 45

Polisi nchini Uganda imesema kuwa idadi ya vifo vya vilivyotokea katika maandamano ya wiki iliyopita imeongezeka na kufikia watu 45....

READ MORE

Mbowe, Wenzake Mbaroni Tuhuma Kupanga Maandamano

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi wanne wa...

READ MORE

Polisi Yatoa Onyo Wanaotaka Kuandamana

KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo, CP Liberatus Sabas, amesema kuwa jeshi la polisi halitamvumilia mtu yeyote awe kiongozi wa chama...

READ MORE

Nigeria: Davido Aongoza Maandamano Dhidi ya Polisi

NYOTA wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke (Davido),  ameongoza sehemu ya maandamano ya vijana nchini humo kutaka kufutwa kwa Kikosi...

READ MORE

Polisi Wapigwa Risasi Kwenye Maandamano

MAOFISA wawili wa polisi wamepigwa risasi huku maelfu ya watu wakiandamana katika mji wa Louisville nchini Marekani baada ya jopo...

READ MORE

Mlipuko Beirut: Maandamano Yaitikisa Serikali

WAANDAMANAJI katika mji wa Beirut nchini Lebanon walikabiliana na vikosi vya usalama vya nchini humo  wakipinga serikali siku ya Alhamisi....

READ MORE

Polisi Watumia Mbwa, Waandamanaji Waja na Simba

  Tangu Oktoba 1, 2019 Wananchi wa Iraq walianza maandamano ya dhidi ya Wanasiasa wanaoongoza nchi hiyo wakiwashutumu kwa mfumo...

READ MORE

Wakatoliki Wakinukisha DRC, Kisa Pesa Kukombwa Benki Kuu

WAUMINI wa dini ya Kikristo wa Kikatoliki katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wamefanya maandamano katika maeneo mbali mbali...

READ MORE

Wanafunzi Chuo cha Ualimu Wajikuta Mikononi mwa Polisi

WANAFUNZI zaidi ya 400 wa Chuo cha Ualimu Moshi zamani Mong’are kilichopo Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro wamefunga barabara na...

READ MORE

Breaking News: Wananchi Waandamana Dar Wakitaka Ndege – Video

UMATI wa watu umejitokeza leo Agosti 28, 2019, nje ya ofisi za Ubalozi wa Afrika Kusini jijini Dar, uliopo kwenye...

READ MORE

Balaa la Maandamano ya Wananchi Hong Kong

LICHA ya mvua kali iliyokuwa ikinyesha Hong Kong, umati wa watu, wakiwamo wazee, walijiunga na wanaharakati vijana na watu wengine...

READ MORE

Mgomo wa Kitaifa Sudan Waanza, Wanne Wauawa

VIKOSI vya usalama nchini Sudan vimerusha mabomu ya machozi na kutumia risasi halisi kuwatawanya waandamanaji mjini Khartoum na watu wanne...

READ MORE

Wabakaji Waachiwa Huru, Sababu? Sura ya Aliyebakwa Haivutii!

WANAUME wawili waliachiliwa huru na mahakama ya Italia kwa makosa ya kumbaka mwanamke, baada ya majaji kuamua kuwa mwathirika ana...

READ MORE

KITIMTIM: Wananchi Watinga Kumng’oa Mwenyekiti Ofisini! – VIDEO

Wananchi wa Kijiji cha Nyarututu kata ya Bwanga Wilayani Chato mkoani Geita wamemkataa mwenyekiti wao, Slivester Nalomba, kwa madai ya...

READ MORE

Wananchi 103 Mbaroni kwa Maandamano

Polisi nchini Uganda, imesema imewakamata watu 103, katika maandamano yaliozuka ya kupinga kukamatwa kwa mbunge wa upinzani Robert Kyagulanyi au...

READ MORE

CHIKOKA AFUNGUKIA MAANDAMANO!

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Juma Chikoka, amesema kuna tatizo kubwa la uelewa wa Watanzania katika suala zima la matumizi...

READ MORE

Riziki Lulida: Maaskofu Mnacheza Mchezo Katika Dini – Video

Mbunge Viti Maalum kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Mhe. Riziki Rulida amewataka Maaskofu nchini wasijingize katika masuala ya siasa kwa...

READ MORE

Wawili Mbaroni kwa Kuhamasisha Maandamano

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano kupitia kwenye mitandao ya kijamii wakitumia...

READ MORE

Polisi: Atakayeandamana Asitulaumu

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa kikundi kinachohamasisha maandamano kupitia mtandao wa Telegram na kusema litafanya kila liwezekanalo kisheria kukizuia....

READ MORE

Mwigulu Afungukia Maiti Zilizookotwa Coco Beach

Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba amezungumzia maiti zinazookotwa baharini na kusema kuwa kama zingekuwa za Watanzania basi...

READ MORE

CDF Mabeyo Awatahadharisha Watanzania

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo amewahadharisha Watanzania na kuwataka wajiepushe na vitendo vinavyoweza kutishia...

READ MORE

Maandamano Yamponza Lwakatare

MBUNGE wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo...

READ MORE

BREAKING: MBOWE AISHUTUMU NEC, JESHI LA POLISI

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameishutumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa walishindwa...

READ MORE

Polisi Yakiri Kuwashikilia Waliojeruhiwa Kwenye Maandamano ya Chadema

JESHI la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Muliro Jumanne limethibitisha kuwashikilia watuhumiwa watatu wenye majeraha ya...

READ MORE

POLISI KUZUIA MIKUTANO YA SIASA, MAANDAMANO NI SAWA?

Tungependa Watanzania wote waeleweshwe kuhusu jambo hili. Tumekuwekea mjadala maalum kuhusu polisi kuzuia mikutano ya kisiasa na maanadamo hapa nchini....

READ MORE

Polisi Yawapiga Stop Chadema Kufanya Maombi kwa Lissu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano, maombi na mikusanyiko isiyo halali huku likielekeza kuwa...

READ MORE

Jaji Mkuu, Polisi Watoa ONYO Mgomo wa Mawaikili Nchi Nzima

Kaimu  Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma na Jeshi la Polisi nchini, wamelionya Baraza la Uongozi la Chama cha...

READ MORE

Breaking News: Polisi Dar Yatumia Mabomu ya Mchozi Kutawanya Maandamano ya Walemavu

DAR ES SALAAM: Polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya walemavu waliofunga barabara wakipinga kuzuiwa kuingia katikati ya mji...

READ MORE

Bodaboda Ajigongesha Makusudi Kwenye Nguzo Akiwa Amembeba Askari, Afariki

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limelazimika kutumia mabomu kuwatawanya madereva bodaboda zaidi ya 100 waliokuwa wanaandamana kuelekea eneo la Ibinzamata...

READ MORE