Habari MAGUFULI AKUTANA NA WADHAMINI WA CCM Last updated Jul 14, 2018 Share Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa na wajumbe wa baraza jipya la wadhamini wa CCM Ikulu jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia mstari wa kwanza ni Dkt. Haruni Kondo, Anna Abdallah (Mwenyekiti wa Baraza) na Jaji Mstaafu Mark Bomani. Wengine mstari wa nyuma kuanzia kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally, Christopher Gachuma, John Chiligati, Balozi Mstaafu Daniel Ole Njoolay, Pandu Kificho na Hassan Mzee. Magufuli akizungumza na wajumbe hao. …Akizungumza na Hassan Mzee, mmoja wa watu waliochanganya udongo wakati Tanganyika ilipoungana na Zanzibar kuunda Tanzania. …Akitoka kwenye kikao na wajumbe. CCMJohn MagufuliJPM Share
Comments are closed.