Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara na atapangiwa kazi nyingine. Rais amemteua William Erio kushika nafasi hiyo kabla kuteuliwa alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF.
Comments are closed.