The House of Favourite Newspapers

Rais Magufuli Atengua Uteuzi Katibu Mkuu Mambo ya Nje

0

Rais Magufuli leo Julai 18, 2020 amemteua Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Zanizbar. Anachukua nafasi ya Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi.

Leave A Reply