MAGUFULI AWEKA MAUA MAKABURI YA MASHUJAA NAMIBIA
Rais Magufuli akiwa ameongoza na Rais wa Namibia, Hage Geingob wa Namibia, amembelea na kuweka shada la maua katika eneo la makaburi ya mashujaa wa ukombozi wa Namibia (Heros Acre) ambako wamezikwa mashujaa walioendesha mapambano wakitokea katika kambi ya mafunzo ya Kongwa mkoani Dodoma.
PICHA NA IKULU
Comments are closed.