The House of Favourite Newspapers

Rais Mstaafu Kikwete Azindua Mpango Wa Kuanzisha Huduma Harakishi Za Watoto Wachanga

0
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata keki na baadae kuwapa wadau wa sekta ya afya baada ya kuzindua Mpango Harakishi wa Kuanzisha Huduma za Watoto Njiti na Watoto Wachanga Tanzania katika siku ya mwisho ya Mkutano wa Pili wa Kisayanzi ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto uliofanyika kwa siku tatu kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na wadau wa sekta ya afya wakirusha maputo kama ishara ya kuzindua Mpango Harakishi wa Kuanzisha Huduma za Watoto Njiti na Watoto Wachanga Tanzania katika siku ya mwisho ya Mkutano wa Pili wa Kisayanzi ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto uliofanyika kwa siku tatu kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amezindua Mpango Harakishi wa Kuanzisha Huduma za Watoto Njiti na Watoto Wachanga Tanzania katika siku ya mwisho ya Mkutano wa Pili wa Kisayanzi ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto uliofanyika kwa siku tatu kwenye Ukumbi wa Kimataifa  wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Leave A Reply