Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Jaji Khamis RamadhanAbdalla kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar kuchukua nafasi ya Omar Othuman Makungu aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.