The House of Favourite Newspapers

Rais Mwinyi Amjulia Hali Tundu Lissu, Nairobi Hospital

RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi leoDesemba 5, 2017 amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika, Tundu Lissu katika Hospitali ya Nairobi anakotibiwa baada kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake Area D, Mjini Dodoma.

Lissu alikimbizwa katika hospitali hiyo baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na watu wasiojulikana nyumbani kwake, Area D, Mjini Dodoma, Septemba 7 mwaka huu.

Comments are closed.