Rais Samia Akutana na Mama Maria Nyerere, Anna Mkapa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Desemba 5, 2021 amewatembelea nMama Maria Nyerere na Mama Anna Mkapa kuwajulia hali nyumbani kwao Msasani Jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU