Rais Samia Akutana na Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji Leo – Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na Kuzungumza na Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji (Assembleia da República de Moçambique) Esperanca Laurinda Francisco Nhiuane Bias kwenye Ofisi za Bunge hilo zilizopo Maputo, Msumbiji.