Rais Samia Amuapisha Pereira Silima Kuwa Balozi wa Tanzania Comoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuapisha, Pereira Ame Silima kuwa Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Visiwa vya Comoro leo Novemba 7, 2021 Ikulu, Chwamwino Mkoani Dodoma.