Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Septemba 7, 2022 ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.