Rais Samia Aongoza kupokea Mwili wa Rais Mstaafu Hayati Mzee Mwinyi Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan aongoza Viongozi na Wananchi wa Zanzibar kupokea Mwili wa Rais Mstaafu awamu ya pili Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar