Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Emmerson Mnangagwa, uliowasilishwa kwake na Mjumbe huyo Maalum Balozi Simbarashe Mumbengengwi, Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 22 Mei, 2022.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.