Rais Samia Ashiriki Baraza la Idd-El-Fitri, katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha JNCC -(Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Baraza la Idd-El-Fitri, katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNCC) Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.