The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Ashiriki Baraza la Idd-El-Fitri, katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha JNCC -(Picha +Video)

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni mbalimbali pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Baraza la Idd-El-Fitri, katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNCC) Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.

Wageni mbalimbali pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiwa kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wanawake wa Kiislam Tanzania (JUWAKITA) Mama Shamim Khan ambaye aliwasilisha kwa niaba ya Wanajumuiya wenzake wakati wa Baraza la Eid El Fitr lililofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mufti wa Tanzania Sheikh Mkuu Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally wakati wa Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.
Rais Samia akimsikiliza Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wanawake wa Kiislam Tanzania (JUWAKITA) Mama Shamim Khan wakati wa Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.
Wageni mbalimbali pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiwa kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Aprili, 2024.
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mufti wa Tanzania Sheikh Mkuu Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Omar pamoja na Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wanawake wa Kiislam Tanzania (JUWAKITA) Mama Shamim Khan mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Baraza la Eid El Fitr tarehe 10 Aprili, 2024.

 

Leave A Reply