Rais Samia Asimikwa Kuwa ‘Chifu’ Wa Machifu Tanzania -(Picha +Video)
RAIS Samia Suluhu Hassan leo Septemba 8, 2021 amesimikwa kuwa chifu wa machifu Tanzania na kupewa jina la HANGAYA likiwa na maana Nyota Ang’avu, katika Uwanja wa Msalaba Mwekundu Kisesa wilayani Magu, jijini Mwanza.