The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Atakuwa Mgeni Rasmi Mei Mosi leo Jijini Mwanza

0

Rais Samia leo Mei 1, 2021 atakuwa Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambayo itafanyika Kitaifa katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza

Leave A Reply