Rais Samia Atunukiwa Shahada Ya Heshima Ya Uzamivu – Suza, Zanzibar (Picha + Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Usimamizi ya Utalii na Masoko ya Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) leo tarehe Desemba 28, 2023, Zanzibar