Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan ameondoka leo Ijumaa, Julai 16, 2021 asubuhi kuelekea nchini Burundi ambako atakuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili.
Rais Samia amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Melchior Ndadaye, jijini Bujumbura nchini humo ambapo amepokelewa na Naibu wa Rais wa nchi hiyo, Bw. Prosper Bazombanza.
View this post on Instagram
View this post on Instagram