Rais Samia Azindua Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA) Kizimkazi, Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Machi 14, 2024amezindua Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA) katika hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar.