The House of Favourite Newspapers

Bilionea Subhash Kuzikwa Kesho Makumbusho, Dar

0

MAZIKO ya aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea, wafanyabiashara  wachache nchini, Subhash Patel yatafanyika kesho Alhamisi, Desemba 17, 2020 eneo la Makumbusho-Hindu Kijitonyama, Dar es Salaam.

Patel alifariki dunia Jumanne, Desemba 15, 2020.

 

 

Leave A Reply