MAZIKO ya aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea, wafanyabiashara wachache nchini, Subhash Patel yatafanyika kesho Alhamisi, Desemba 17, 2020 eneo la Makumbusho-Hindu Kijitonyama, Dar es Salaam.
Patel alifariki dunia Jumanne, Desemba 15, 2020.