Mwili wa Aliyekuwa mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, umewasili salama nyumbani kwake Machame, leo Jumatano, Mei 8, 2019.
Simanzi na majonzi vimetawala kwenye mioyo ya wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro waliojitokeza barabarani kuulaki mwili wa marehemu, Dkt. Reginald Mengi.
Comments are closed.