Saleh Jembe: Simba Wakikosea Dar Wasitegemee Watapatia Cairo, Mamelodi Wanafungika – Video
Mwandishi nguli wa michezo Saleh Jembe amefanya mahojiano na waandishi na kusema kuwa Simba Sc ina bahati kupangwa na Al Ahly kwani wanawajua ubora na udhaifu wao.