SBL Yatoa Semina ya Ugonjwa wa Corona na Chanjo kwa Wafanyakazi Wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)Prof. Mohamed Janabi akitoa mada juu ya ugonjwa wa Corona kwa baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa zoezi la chanjo ya ugonjwa huo ambayo kampuni iliandaa kwa ajili ya wafanyakazi wake.