The House of Favourite Newspapers

SHAMSA FORD ACHUKIZWA HAMISA KUCHEPUKA NA BWANA WA ZARI!

0

Wakati sakata la Hamisa Mobeto kuzaa na mzazi mwenziye Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, likiwa bado bichi na watu wakiendelea kumuweka kikaangoni kwenye mitandao ya kijamii, Queen wa Bongo Muvi, Shamsa Ford, ameandika ujumbe ambao mashabiki wanadai ni kijembe kwa Mobeto.

Baada ya post hiyo, mashabiki wa Hamisa walimjia juu Shamsa na kumshushia kichambo wakimtaka aachane na ishu za mwanamitindo huyo, badala yake apambane na hali yake.

NA ISRI MOHAMED/GPL

Leave A Reply