SIKU chache tangu kuzinduliwa na kuanza kufanya kazi, tovuti ya www.sokabet.co.tz imekuwa kimbilio la washiriki wengi wa mchezo wa kubahatisha ambapo tayari wikiendi hii ya jana kuna watu wamevuna fedha kutokana na kupatia michezo waliyobashiri.
Jambo zuri zaidi ni kuwa ndani ya Sokabet kuna mcihezo mingi zaidi ya soka na yote ni kivutio kwa washiriki wengi. Ndani ya tovuti hiyo unayo nafasi ya kuwekeza fedha ambayo utaipata mwisho wa msimu au katikati ya msimu huu kutokana na wewe kuchagua kipengele unachotaka.
Ndani ya tovuti ya www.sokabet.co.tz kuna vipengele vya kuchagua timu ipi inaweza kubwa bingwa katika ligi kuu ya nchi fulani.
Tabiri bingwa upate mkwanja
Ingia ndani ya tovuti hiyo, baada ya kuwa umeshajisajili na kufungua akaunti yako (kama bado hujajisajili, nitakuelekeza katika aya za mbele za makala haya) kisha upande wa kushoto wa tovuti hiyo utaona orodha ya ligi mbalimbali za Ulaya.
Unachotakiwa kufanya ni kuchagua ligi unayotaka kutabiri matokeo, mfano ukitaka Premier League, utaona imendika upande huo wa kushoto, bonyeza jina la ligi hiyo kisha zitatokea meche mbalimbali za ligi hiyo ambazo unaweza kubashiri pia chini yake utaona orodha ya timu zote za ligi hiyo zikiwa na pointi (odds) zake za kubeti.
Katika hiyo orodha unaweza kuchagua timu unayotabiri inaweza kuwa bingwa kisha ukaweka fedha yako na kusubiri mwisho wa msimu uone itakuwaje, ndivyo hivyo katika ligi zote zilizopo kwenye orodha hiyo, mfano Serie A, Bundesliga na Championship.
Mfano halisi wa aliyepata mamilioni
Huko Ulaya katika kampuni ya huko, mwaka 2006 kuna shabiki wa Leicester City wakati msimu unaanza alibeti kuwa timu yake hiyo itakuwa bingwa kwa kuweka pauni 11 (Sh 31,000), anasema aliweka kama kujifurahisha tu na ikumbukwe timu hiyo ilikuwa haina muda mrefu tangu imepanda daraja.
Mwisho wa msimu shabiki huyo Martin Davies aliyekuwa na umri wa miaka 59, kweli timu yake ikafanya kweli na akajikuta akipata pauni 72,000 (Sh milioni 201).
POINTI ZA UBINGWA MSIMU WA 2017/18
La Liga
Real Madrid 1.67
Barcelona 2.50
Atletico 23
Sevilla 151
Valencia 251
Athletic Bilbao 251
Villarreal 251
Real Sociedad 251
Malaga 751
Eibar 751
Real Betis 751
Espanyol 751
Celta Vigo 751
Alaves 1001
Deportivo 1001
Las Palmas 1001
Levante 1001
Girona 1001
Leganes 1001
Getafe 1001
Mfano: Malaga bingwa kwa Sh 2,000 utapata Sh milioni 1.2
PREMIER LEAGUE
Man City 2.40
Man United 3.20
Chelsea 7
Tottenham 12
Arsenal 17
Liverpool 17
Everton 67
Leicester City 251
Southampton 501
West Brom 501
West Ham 751
Stoke City 751
Newcastle 751
Huddersfield 751
Crystal Palace 1001
Swansea City 1001
Bournemouth 1001
Watford 1001
Burnley 1001
Brighton & Hove 1001
Mfano: Southampton bingwa, kwa Sh 2,000 utapata Sh laki 8
SERIE A
Juventus 1.80
Napoli 4.
Milan 7
Inter Milan 10
Roma 13
Lazio 81
Fiorentina 126
Atalanta 251
Torino 251
Udinese 501
Sassuolo 751
Sampdoria 751
Genoa 1001
Bologna 1001
Cagliari 1001
Chievo 1001
Verona 1001
Benevento 1001
Crotone 1001
Spal 1001
Mfano: Verona bingwa, kwa Sh 2,000 utapata Sh milioni 1.6
BUNDESLIGA
B.Munich 1.13
Dortmund 7.00
Leipzig 26
Schalke 51
Hoffenheim 51
Leverkusen 81
Mo’gladbach 81
Werder Bremen 201
Hertha Berlin 251
Cologne 251
Frankfurt 251
Wolfsburg 501
Stuttgart 501
Hamburger 501
Mainz 751
Hannover 751
Augsburg 751
Freiburg 751
Mfano: Wolfsburg bingwa, kwa Sh 2,000 utapata Sh laki 8
Kujiandikisha ni bure
Ingia www.sokabet.co.tz kisha bonyeza sehemu ya ‘sign up’ yaani jisajili kwa mara ya kwanza. Hapo utajaza nafasi chache zilizo wazi, ukimaliza utatumiwa namba yako ya siri kwa njia ya SMS.
Baada ya hapo utajerea sehemu ya kuingia ndani yaani ‘LOGIN’, andika namba yako ya simu kisha ingiza namba ya siri ambayo ulitumiwa kwa njia ya SMS, ukifanikisha hilo utakuwa umeshaingia kwenye akaunti yako rasmi.
Utakaporejea baadaye kufungua tovuti hiyo, hutakuwa na haja ya kujiandikisha upya, badala yake utaingiza namba yako ya simu kisha namba ya siri tu basi.
Kuingiza fedha na kubeti fanya haya
Watumiaji wa Vodacom, bonyeza *150*00#, chagua namba 4 (lipa kwa M-pesa), chagua namba 4 (weka namba ya kampuni), ingiza namba ya kampuni ambayo ni 335757, kisha ingiza kumbukumbu ambayo ni neno ‘Soka’.
Baada ya hapo utaingiza kiasi unachotaka kuweka mfano Sh 1,000 au 2,000 na kuendelea, utamalizia kwa kuingiza namba yako ya siri na bonyeza namba 1 ili kukamilisha mchakato.
Kwa Tigopesa, kubonyeza *150*01#, chagua namba 4 (lipia bili), bonyeza namba 3 (ingiza namba ya kampuni), ingiza namba 335757, kisha ingiza kiasi cha fedha, ingiza neno ‘Sokabet’, malizia na namba yako ya siri ya Tigopesa.
Kwa Airtel bonyeza *150*60#, chagua namba 5 (lipia bili), bonyeza namba 4 (namba ya kampuni), ingiza namba 335757, kisha ingiza kiasi cha fedha, itakwambia ingiza kumbukumbu namba (hapa ingiza neno ‘Soka’), kisha namba yako ya siri ya Airtel money.
Hapo utakuwa umeshajaza salio kwenye akaunti yako ya Sokabet tayari kwa ajili ya kuanza kubashiri.
Namba ya bahati 335757
Washiriki wa kubashiri watakuwa wenye umri wa kuanzia miaka 18, pia kumbuka unatakiwa kuiweka kichwani namba 335757 ambayo ni ya Sokabet, hii ndiyo itakupa neema yote ya kukufanya umiliki mamilioni ya fedha.
Na Mwandishi Wetu
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App