Sol Campbell Alivyotua Tanzania, Apokelewa na SportPesa
Beki kisiki wa zamani wa Arsenal, Sol Campbell, tayari ametua nchini kwa ajili ya ziara ambayo ni mwaliko wa SportPesa Tanzania.
Campbell ametua na kupokelewa na wenyeji wake SportPesa na baadaye mashabiki wa Arsenal ambao walijitokeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL