The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

kagera

Yanga Yaitungua Kagera Sugar

FT: Kagera Sugar 0- Yanga Yanga wanasepa na pointi tatu mbele ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Kaitaba. Dakika 90 zimekamilika, Uwanja wa Kaitaba, zimeongezwa dakika 3 Dakika ya 88 anatoka Mayele…

Rekodi Zaibeba Yanga SC Dar leo

JESHI la Mrundi Cedric Kaze leo linatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam kuvaana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Yanga yenye pointi 45, itashuka uwanjani saa moja kamili usiku ikiwa na rekodi…

Nyosso apewa Makambo, Ngassa

KATIKA kuhakikisha anabakiza pointi tatu nyumbani, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema tayari amekiandaa vyema kikosi chake kupambana na Yanga. Kagera Sugar iliyopo nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 17,…

JUMA KASEJA AWATIBUA SIMBA TAIFA

KIPA wa zamani wa Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania, Juma Kaseja 'Tanzania One' leo Jumamosi amewatibua Simba baada ya kuivuruga rekodi yao ya kutaka kumaliza Ligi Kuu ya VPL na kuchukua Ubingwa bila kupoteza mchezo baada ya kukamata…

Juma Nyosso Akamatwa na Polisi

Jeshi la Polisi Mkoani Kagera limethibitisha kumshikilia mlinzi wa Kagera Sugar Juma Said Nyosso kwa kosa la kumpiga shabiki anayeaminika kuwa ni wa Simba baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba uliopigwa mjini Bukoba. Tukio…

Kagera Sugar Wampotezea Bokungu

TIMU ya soka ya Kagera Sugar tayari imefunga zoezi la usajili wake wa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajia kuanza Agosti 26, mwaka huu. Kutokana na hali hiyo, beki wa zamani wa Simba raia wa DRC Congo,…