The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

MAUAJI

Mtoa Roho Maarufu Njombe Akamatwa

Polisi Mkoani Njombe wanamshikilia Israel Msigwa maarufu kwa jina la Mtoa Roho (39) Mkazo wa Makambako kwa tuhuma za kumsababishia kifo Mtoto wake Haskad Msigwa (7) kwa kumuadhibu kwa nyaya za umeme na fimbo kwa sababu amekojoa…

Mwanamke Anyongwa Nyumbani Kwake

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea na uchunguzi kufuatia tukio la mauaji ya mke wa mfanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa GGM aliyefahamika kwa jina la Anjela Anteli mwenye umri wa miaka 43, aliyekutwa amenyongwa nyumbani kwake jana…

Auawa kwa Tuhuma za Kutengeneza Radi

MWANANCHI mmoja mkazi wa Halmshauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi, Baraka Kabisu, ameuawa na wananchi wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa ni mchawi anayetengeneza radi, ambayo ilikwenda kumpiga Anjelina Revocatus na kufariki dunia. Kamanda wa…

Majambazi Watatu Wauawa Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limewaua watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi waliokuwa katika mpango wa kupora katika duka moja la miamala ya fedha eneo la Mbagala Zakhiem jijini Das res Salaam. …

Mke wa Mtu Auliwa na Mchepuko wake

MWILI wa mwanamke aliyetambulika kwa jina la Teddy Mallya mkazi wa Ilboru Kisiwani, Arumeru mkoani Arusha umekutwa umetupwa kwenye shamba la migomba akiwa mtupu na baadhi ya majeraha mwilini ikiwemo ya kung’atwa na meno huku akidaiwa…

Mhudumu ‘Gesti’ Auawa Kinyama

MHUDUMU wa nyumba ya kulala wageni ya Peace Lodge iliyoko katika eneo la Matarawe Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 23 amekutwa amekufa kwenye moja ya vyumba vya kulala…

Mfanyabiashara Amchinja Mwanae

Mfanyabiashara Mkubwa Jimbo la Zamfara nchini Nigeria amekamwatwa kwa kosa la kuua kwa kumchinja mtoto wa kiume wa miaka tisa. Aminu Baba ambae anafanya biashara ya kuuza magari amekiri kumuua na kumchinja mtoto Ahmad…

Mama Aua Wanaye Wawili

MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni Mama wa Watoto wawili amejiua kwa kujinyonga baada ya kuwaua kwa sumu Watoto wake wawili wa kike (mmoja ana umri wa miaka miwili na mwingine mitano) katika Kijiji cha Katitika kilichopo…

Adaiwa Kumuua Mama Yake Kisa Mali

ZIKIWA zimepita siku kadhaa toka litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi Kwa tamaa ya Mali, Limegundulika tukio lingine la kinyama mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi ambapo binti mmoja aliejulikana…

Kijana Atuhumiwa Kumuua Mpezi Wake

Maafisa upelelezi nchini Kenya wamemkamata kijana aitwaye Brian Waweru mwenye umri wa miaka 25, kwa tuhuma za utekelezaji wa mauaji ya kinyama aliyoyafanya kwa mpenzi wake Everlyn Wanjiru (24), katika eneo la Ndenderu, Kaunti ya Kiambu.…