The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mtibwa

Omog Akwama Mtibwa Sugar

LICHA ya kutambulishwa rasmi kukinoa kikosi cha Mtibwa Sugar kwa msimu wa 2021/22, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog ameshindwa kuiongoza timu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Bara baada ya vibali vyake vya kazi kutokuwa sawa. Mtibwa…

Omog Atajwa Mtibwa Sugar

BAADA ya aliyetarajiwa kuwa Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Hitimana Thierry kutimkia Simba, inatajwa kuwa uongozi wa timu hiyo upo kwenye mazungumzo na aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Joseph Omog. Omog aliwahi kuzinoa timu…

Mtibwa Yaichapa Bao Moja KMC

KIKOSI cha Mtibwa Sugar leo Desemba 11 kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Bao pekee la ushindi limepachikwa na Salum Kihimbwa dakika ya 21 kwa…

MTIBWA SUGAR YAWABANA SIMBA SC

MCHEZO wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2018/2019 kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya mabingwa wa ligi hiyo, Simba Sc umekamilika xkatika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro huku timu zote zikitoshana nguvu baada ya kutoka suluhu ya bila…

Mtibwa: Tutapindua Meza

LICHA ya kupoteza kwa mabao 3-0 katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa ugenini, uongozi wa timu ya Mtibwa Sugar umefunguka kwamba lengo lao walilolikusudia ni kugeuza matokeo hayo wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani.…

TFF: Mtibwa Leteni Ushahidi

SHRIKISHO la Soka la Tanzania (TFF), limeibana klabu ya Mtibwa Sugar juu ya malipo ya deni lao la faini katika Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kwa kuwataka wapeleke uthibitisho ili wapate nafasi ya ushiriki Kombe la Shirikisho baadaye…