Browsing Tag
Navy Kenzo
AIKA AMPIGA BITI NAHREEL
MWANAMAMA mkali kunako Bongo Flevani, Aika Mariale amempiga bonge la biti mzazi mwenzake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ akimwambia afanye yote, lakini akimchiti atakiona cha mtema kuni.
Aika ambaye anaunda Kundi la Navy Kenzo…
VIDEO MPYA:Navy Kenzo Waja Na Club Banger ‘Roll It’ Itazame Hapa
Kundi bora la muziki Tanzania linaloundwa na Aika pamoja na Nahreel wameileta video ya wimbo wao mpya Roll It.
Video imeongozwa na Justin Campos, audio ikitengenezwa na Buskilaz.
Tumekuwekea hapa…
Wasanii 7 Toka Bongo Wametajwa Kwenye Tuzo za Soundcity/ Wasanii 3 Toka WCB
Kituo kikubwa cha televisheni ‘Soundcity’ toka Nigeria kimetangaza wasanii ambao watagombea tuzo za Soundcity MVP kwa mwaka 2018.
List hiyo ya tuzo imechukua wasanii 7 toka Tanzania ambao ni, Diamond Platnumz, Mbosso,…
MSAFARA WA DIAMOND MTWARA ‘WAVAMIWA’ – VIDEO
Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz akiwa na timu yake nzima WCB akielekea katika Tamasha la Wasafi Festival mkoani Mtwara, ghafla amejikuta akivamiwa na kundi kubwa la mashabiki wake kila walipopita…
Navy Kenzo Wapewa Heshima ya Nguvu Kenya
Kundi la muziki wa Bongo Fleva, Navy Kenzo wamepewa nafasi ya kipekee ya kuwa wafunguzi maalum wa Kituo cha Cancer (saratani), Nairobi nchini Kenya.
Navy Kenzo ambalo linaundwa na wasanii wawili, Aika na Producer Nahreel…
EXCLUSIVE: DIAMOND Amewasaini Navykenzo? – VIDEO
KUNDI la Navy Kenzo ambalo kwa sasa linafanya vizuri na wimbo wao mpya 'Katika' ambao wamemshirikisha Diamond Platnumz limeeleza ilivyokuwa hadi kumshirikisha muimbaji huyo na ishu ya kusaini WCB.
Navy Kenzo wakizunguza na…
Video Mpya ya Navy Kenzo ft. Diamond Platnumz (Katika) Yatikisa
Kundi la muziki wa Bongo Fleva, Navy Kenzo linaloundwa na Aika na mpenzi wake, Nahreel wameachia video ya wimbo wao mpya unaokwenda kwa jina la Katika ambao wamemshirikisha Diamond Platnumz.
Install Global App, nimekuwekea link hapa…
AIKA : MIAKA 10 YA MAPENZI YETU KAMA 2 TU !
Mwanamama kutoka Bongo Flevani, ambaye ni memba wa Kundi la Navy Kenzo, Aika Mariale amesema miaka 10 waliyoishi ya kimapenzi na mzazi mwenzake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ anaona ni kama juzi tu au miaka miwili.
Akipiga stori na Over…
Navy Kenzo Wafungukia Wimbo Wao Kubuma
MWANAMUZIKI kutoka Kundi la Navy Kenzo, Aika Mareale ‘Aika’, ameweka wazi kwamba tofauti na maoni ya wengi wimbo wao mpya wa Fella, haujabuma bali unafanya vizuri na kipimo cha wimbo kufanya vizuri kwao si ‘views’ za Mtandao wa YouTube…
Nahreel na Aika Wapata Mtoto
WASANII wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreel na Aika ambao pia ni wapenzi wamejaliwa kupata mtoto.
Kupitia kurasa zao za mtandao wa Instagram wameeleza furaha yao mara baada ya kupata mtoto huyu. Nahreel ameandika; #Gold z…
Nahreel Na Aika Kimeelewekaaa!
NAVY Kenzo kruu ya watoto wa kishua katika Afrika Mashariki, inaundwa Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ na Aika Mareale. Mbali na kufanya Bongo Fleva katika level za juu, pia wanamiliki lebo ya The Industry iliyowahi kuwasainisha…
Walichokifanya Wasanii Kwenye Tamasha la Castle Lite Unlocks Leaders
TAMASHA la Castle Lite Unlocks lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar usiku wa kuamkia leo wasanii wa ndani ya Tanzania na nje waliandika historia kwa kupiga shoo kali wakiongozwa na msanii Future kutoka Marekani na…
Studio Zimekuwa Dili
MAKALA: BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI | SHOWBIZ
SUALA la wanamuziki Bongo kumiliki studio sikuhizi si geni kabisa. Tofauti na zamani walipokuwa ‘wanahustle’ kwenye studio za watu wasainishwe kwenye ‘lable’ ili kurekodi nyimbo zao ama…
#GlobalCelebrities: Itazame Studio Session Ya Rosa Ree Ndani Ya The Industry Studios- (Video)
Tunazidi kuikaribia weekend na bado nipo na wale watu wangu wenye mapenzi makubwa na Bongo Fleva.
Nilianza kwa kuileta kwako studio session ya 'Pepeta' ya msanii wa Bongo Fleva Chin Bees na nia yangu ilikuwa kukupa experience ya…
Albamu Mpya ya AIM ya Navy Kenzo Haikamatiki Mitandaoni
IKIWA ni baada ya Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na wasanii wawili kutoka Bongo, Aika na Nahreel kuachia Albamu yao mpya 'Above In A Minute (AIM)' kwenye mfumo wa CD, album hiyo sasa imeingia kwenye mitandao kwa fujo, kwani mashabiki…
Video Mpya: Kamatia ya Navy Kenzo
WAKALI wa muziki wa Bongo Fleva wanaounda kundi la Navy Kenzo, Aika na Nahreel wameibuka na wimbo wao mpya unaojulikana kama Kamatia.
Aika na Nahreel wanaounda kundi la Navy Kenzo wakiwa katika pozi.
Wimbo huu audio…