ODAMA: UZURI WA SURA UENDANE NA KICHWA
MSANII wa kitambo kwenye tasnia ya Bongo Muvi, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amewatolea uvivu wanawake warembo, wenye maringo akidai hawatumii akili. Akizungumza mbele ya paparazi wetu, Odama alisema wanawake wengi warembo wa sura na mwili,…