The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

trump

Rais Trump Kuchunguzwa

Mwanasheria mkuu wa New York amemtaka Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump pamoja na wanawe wawili kufika ofisini kwake kutoa ushahidi katika uchunguzi kuhusiana na biashara za familia hiyo. Kwa mujibu wa Gazeti la…

Trump Aibuka Upya, Atoa Kauli Hii

ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amezungumza kwa mara ya kwanza tangu Joe Biden kuwa Rais wa nchi hiyo, na kusema kuwa hana mpango wa kuanzisha chama kipya cha siasa na badala yake ameahidi kuwa ataendelea kuungana na wana…

Iraq Yatoa Hati Kumkamata Trump

JAJI  katika Mahakama ya uchunguzi ya Baghdad ametoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Marekani anayemaliza muda wake, Donald Trump, juu ya mauaji ya Jenerali wa Iran, Qasem Soleimani mwaka jana. Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Iraq…