The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Uchaguzi TFF

Mahakama Yamrudisha Wambura TFF

HATIMAYE Mahakama Kuu ya Dar es Salaam imemrejesha madarakani aliyekuwa makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura baada ya kutengua maamuzi ya Kamati ya Maadili ya TFF baada ya kumfungia maisha kujihusisha na…

Hivi Hii TFF Inawataka Nini Mashabiki

ISHU sasa ni ushiriki wa aibu wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars katika michuano ya Kombe la Chalenji ambayo leo Zanzibar wanacheza fainali na Kenya. Kilichowaumiza mashabiki na wadau wa soka ni Kili Stars…

URAIA WA KARIA UMEKUWA SERA TFF

KWA mwonekano Wallace Karia hana tofauti na raia wengi wa Somalia, ninamaanisha Wasomali. Ninaamini wako viongozi wengi wa soka, serikalini na sehemu mbalimbali wana mwonekano kama raia wengine wa Somalia na suala la kwamba ni raia wa…

Breaking News: TFF Yaahirisha Uchaguzi

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imetangaza kuwa mchakato wa uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo umesimamishwa hadi Kamati ya Utendaji itakapokutana Juni 4, mwaka huu. Tamko hilo limetolewa katika mkutano na…