HabariKitaifa TANZIA: Mbunge Dkt. Elly Macha wa Chadema Afariki Dunia Last updated Mar 31, 2017 Share Mbunge wa Viti Maalum wa CHADEMA, Dkt. Elly Marko Macha amefariki dunia leo katika Hospitali ya New Cross Uingereza alikokuwa akitibiwa. Macha aliyekuwa mlemavu wa macho amefariki akiwa na umri wa miaka 55 (1962-2017). CHADEMAelly machaMSIBATanzia Share
Comments are closed.