The House of Favourite Newspapers

TANZIA: NYOTA WA ZAMANI WA SIMBA SC AFARIKI DUNIANI

MCHEZAJI nyota wa zamani wa Simba, Urther Mambeta amefariki dunia jana jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mambeta alikuwa mmoja wa wachezaji wa Klabu ya Sunderland kabla ya kubadilishwa jina na kuitwa Simba Sc kutokana na agizo la Serikali ya Tanganyika wakati huo kusisitiza timu kutumia majina ya Kiswahili.
Mambeta alikuwa mmoja wa wachezaji walioanza kuichezea Simba mwanzoni kabisa na taarifa zimeeleza msiba wake utakuwa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mwenyezi Mungu Amrehemu.

BREAKING: Shilole Kahukumiwa! Mahakama Kuuza Mali Zake!

Comments are closed.