Tanzia: Waziri Kiongozi wa Kwanza Zanzibar Afariki Dunia
Waziri Kiongozi wa kwanza Zanzibar (1972-1984), Muasisi wa Mapinduzi na Muungano, Ramadhani Haji Faki (99), amefariki Dunia jijini Dar leo, wakati akitibiwa. Kwa mujibu Msemaji wa Serikali ya Zanzibar, mwili wa Faki utapelekwa Zanzibar kwa ajili ya taratibu za mazishi.
Inalillah waina ilaihi rajiun!