TFF Yaanika Viingilio Mechi ya Simba na Yanga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya ya Watani wa Jadi (Yanga Vs Simba) itakayochezwa
Oktoba 28 2017, Viingilio hivyo vitakuwa kama ifuatavyo:-
Mzunguko ni 10,000
Jukwaa Kuu ni 20,000
Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja na Namba Moja Tanzania ya Global Publishers
Android ===>Google Play
iOS ===>Apple Store