TFF Yasogeza Mbele Mechi Simba na Yanga
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema mechi ya VPL kati ya Simba SC na Yanga SC iliyokuwa ianze saa 11 jioni sasa itaanza saa 1 usiku, TFF imesema imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Michezo,Timu zimejulishwa.